Mrembo huyu shida nini mwanawane.Kwa ku publish vitu kwenye sosho netiweki hajambo...eti Diva loveness love #majangaa
Kama bwana wako si wako tu..kama umempotezea mwingine sisi la tuhuu ki vipi..
Sasa mwishowe umeipata fresh yake umechambwaje na boss lady.#kirohosafi kweli nimecheka sana uishi vibwanga..
Fame haitafutwi hivyo mama kama nyota yako imegoma kushine skilizia usiforce.
Mtafute komando jide akupe style ya maisha.Ushawahi skia aki publish mambo ya love life yake?
She is a lady she behaves live a lady
nakukubali sana lady jay dee....strong woman
No comments:
Post a Comment